6 yeye anayevipiga vikundi vya watu katika ghadhabu kwa mapigo bila kukoma,+ yeye anayeyatiisha mataifa katika hasira kali pamoja na mateso yasiyo na kizuizi.+
6 Nilikuwa na ghadhabu kuwaelekea watu wangu.+ Niliutia unajisi urithi wangu,+ nami nikawatia mkononi mwako.+ Hukuwaonyesha rehema zozote.+ Uliifanya nira yako kuwa nzito sana juu ya mzee.+
16 Kwa hiyo wale wote wanaokumeza nao wenyewe watamezwa;+ nao adui zako wote, wote wataenda utekwani.+ Na wale wanaokupora hakika wataporwa, na wale wote wanaokunyakua nitawatoa wanyakuliwe.”+