19 Ee matumbo yangu, matumbo yangu! Nina maumivu makali katika kuta za moyo wangu.+ Moyo wangu umechafuka ndani yangu.+ Siwezi kunyamaza kimya, kwa maana nafsi yangu imesikia sauti ya baragumu, king’ora cha vita.+
17 “Nawe uwaambie neno hili, ‘Macho yangu na yatiririke machozi usiku na mchana wala yasitulie,+ kwa maana bikira, binti ya watu wangu, amevunjwa kwa mavunjiko makuu+ kwa pigo lenye ugonjwa.+