Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ni wapi pengine mtakapopigwa tena,+ kwa kuwa mnazidisha maasi?+ Kichwa chote kimo katika hali ya ugonjwa, na moyo wote ni mnyonge.+

  • Yeremia 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+

  • Yeremia 30:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa nini unapaaza kilio kwa sababu ya kuvunjika kwako?+ Maumivu yako hayawezi kupona kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi. Nimekutendea mambo hayo.

  • Maombolezo 3:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Hofu na shimo vimekuwa vyetu,+ ukiwa na kuvunjika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki