Isaya 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni wapi pengine mtakapopigwa tena,+ kwa kuwa mnazidisha maasi?+ Kichwa chote kimo katika hali ya ugonjwa, na moyo wote ni mnyonge.+ Yeremia 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+ Yeremia 30:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa nini unapaaza kilio kwa sababu ya kuvunjika kwako?+ Maumivu yako hayawezi kupona kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi. Nimekutendea mambo hayo. Maombolezo 3:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Hofu na shimo vimekuwa vyetu,+ ukiwa na kuvunjika.+
5 Ni wapi pengine mtakapopigwa tena,+ kwa kuwa mnazidisha maasi?+ Kichwa chote kimo katika hali ya ugonjwa, na moyo wote ni mnyonge.+
14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+
15 Kwa nini unapaaza kilio kwa sababu ya kuvunjika kwako?+ Maumivu yako hayawezi kupona kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi. Nimekutendea mambo hayo.