19 Na hakuna mtu anayekumbuka moyoni mwake+ wala kujua wala kuelewa,+ kusema: “Nusu yake nimeiteketeza motoni, nami nimeoka mkate juu ya makaa yake; ninachoma nyama na kula. Lakini je, niyatengeneze mabaki yake yawe chukizo?+ Je, nisujudie ubao wa mti uliokauka?”