11 Na wakati huo watu hawa na Yerusalemu wataambiwa hivi: “Kuna upepo unaokausha wa mapito ya nyikani+ kwenye njia ya kwenda kwa binti ya watu wangu;+ si wa kupepeta, wala wa kusafisha.
3 Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi+ na kama umande unaotoweka mapema; kama makapi yanayopeperushwa mbali kutoka kwenye uwanja wa kupuria+ na kama moshi kutoka katika tundu la paa.