7 Hata makosa yetu yakishuhudia juu yetu, Ee Yehova, tenda kwa ajili ya jina lako;+ kwa maana matendo yetu ya kukosa uaminifu yamekuwa mengi;+ sisi tumekutendea dhambi.+
19 Ee Yehova, usikie.+ Ee Yehova, usamehe.+ Ee Yehova, sikiliza utende.+ Usikawie,+ kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jina lako mwenyewe limeitwa juu ya jiji lako na juu ya watu wako.”+