Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 naam, mataifa yote yatalazimika kusema, ‘Kwa nini Yehova aliitendea hivi nchi hii?+ Joto la hasira hii kuu ni la nini?’

  • 2 Mambo ya Nyakati 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 mimi pia nitawang’oa kutoka katika nchi yangu ambayo nimewapa;+ na nyumba hii ambayo nimeitakasa+ kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali kutoka mbele za uso wangu,+ nami nitaifanya kuwa neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu.+

  • Maombolezo 2:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yehova amefanya alilokuwa nalo akilini mwake.+ Ametimiza neno lake,+

      Aliloamuru tangu siku za kale.+ Amebomoa wala hakuonyesha huruma.+

      Naye hufanya adui ashangilie juu yako.+ Ameinua juu pembe ya adui zako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki