Kutoka 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+ Kutoka 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na machoni pa wana wa Israeli, kuonekana kwa utukufu wa Yehova kulikuwa kama moto+ wenye kuteketeza juu ya kilele cha mlima.
18 Nao Mlima Sinai ukatoa moshi kila mahali,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameshuka juu yake katika moto;+ na moshi wake ukawa ukipaa kama moshi wa tanuru,+ na mlima wote ulikuwa ukitetemeka sana.+
17 Na machoni pa wana wa Israeli, kuonekana kwa utukufu wa Yehova kulikuwa kama moto+ wenye kuteketeza juu ya kilele cha mlima.