2 Wafalme 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana hayo yalitendeka katika Yerusalemu na katika Yuda kwa sababu ya hasira+ ya Yehova, mpaka alipokuwa amewatupa kutoka mbele za macho yake.+ Na Sedekia akaanza kumwasi mfalme wa Babiloni.+ Ayubu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.
20 Kwa maana hayo yalitendeka katika Yerusalemu na katika Yuda kwa sababu ya hasira+ ya Yehova, mpaka alipokuwa amewatupa kutoka mbele za macho yake.+ Na Sedekia akaanza kumwasi mfalme wa Babiloni.+
11 Kwa maana yeye atamlipa+ mtu wa udongo kulingana na matendo yake,Na kulingana na pito la mwanadamu yeye ataifanya ije juu yake.