6 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Ole wake jiji lenye matendo ya kumwaga damu,+ kile chungu cha kupikia chenye mdomo mpana, ambacho kutu yake iko ndani yake, na ambacho kutu yake haikukitoka! Kipande kwa kipande chake, kitoe nje;+ kura yoyote isipigwe juu yake.+