1 Samweli 25:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Busara yako na ibarikiwe,+ nawe ubarikiwe, ambaye umenizuia leo nisiingie katika hatia ya damu+ na kuacha mkono wangu mwenyewe uniokoe.+ Matendo 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Kwa hiyo endeleeni kukesha, na kukumbuka akilini kwamba kwa miaka mitatu,+ usiku na mchana, sikuacha kumwonya+ kila mmoja kwa machozi.
33 Busara yako na ibarikiwe,+ nawe ubarikiwe, ambaye umenizuia leo nisiingie katika hatia ya damu+ na kuacha mkono wangu mwenyewe uniokoe.+
31 “Kwa hiyo endeleeni kukesha, na kukumbuka akilini kwamba kwa miaka mitatu,+ usiku na mchana, sikuacha kumwonya+ kila mmoja kwa machozi.