15 naye mwovu arudishe kitu kile kilichowekwa rehani,+ alipe vitu vile vilivyochukuliwa kwa unyang’anyi,+ naye kwa kweli atembee katika sheria za uzima kwa kutotenda ukosefu wa haki,+ hakika ataendelea kuishi.+ Yeye hatakufa.
20 jueni kwamba yeye anayemrudisha mtenda-dhambi kutoka kwenye kosa+ la njia yake ataiokoa nafsi yake kutoka kwenye kifo+ naye atafunika dhambi nyingi.+