14 “ ‘Na kama watu hawa watatu wangekuwa katikati yake, Noa,+ Danieli+ na Ayubu,+ wao wenyewe kwa sababu ya uadilifu+ wao wangeikomboa nafsi yao,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”+
20 hata kama Noa,+ Danieli+ na Ayubu+ wangekuwa katikati yake,+ kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘hawangekomboa mwana wala binti; wao wenyewe kwa sababu ya uadilifu wao wangeikomboa nafsi yao.’ ”+