Yeremia 39:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+ Ezekieli 34:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Aliyepotea nitamtafuta, na aliyefukuzwa nitamrudisha,+ na aliyevunjika nitamfunga na anayeugua nitamtia nguvu, lakini aliyenona+ na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”+
6 Na mfalme wa Babiloni akawaua+ wana wa Sedekia katika Ribla mbele ya macho yake,+ na mfalme wa Babiloni akawaua watu wote wenye vyeo wa Yuda.+
16 “Aliyepotea nitamtafuta, na aliyefukuzwa nitamrudisha,+ na aliyevunjika nitamfunga na anayeugua nitamtia nguvu, lakini aliyenona+ na aliye na nguvu nitamwangamiza. Huyo nitamlisha hukumu.”+