Isaya 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Yehova hakika ataipiga Misri.+ Kutakuwako kupigwa na kuponywa;+ nao lazima warudi kwa Yehova,+ naye atakubali kusihi kwao na kuwaponya.+ Yeremia 46:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “‘Nami nitawatia mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao na mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni+ na mkononi mwa watumishi wake; na baadaye watu watakaa ndani yake kama katika siku za zamani za kale,’+ asema Yehova.
22 Na Yehova hakika ataipiga Misri.+ Kutakuwako kupigwa na kuponywa;+ nao lazima warudi kwa Yehova,+ naye atakubali kusihi kwao na kuwaponya.+
26 “‘Nami nitawatia mkononi mwa wale wanaoitafuta nafsi yao na mkononi mwa Nebukadreza mfalme wa Babiloni+ na mkononi mwa watumishi wake; na baadaye watu watakaa ndani yake kama katika siku za zamani za kale,’+ asema Yehova.