21 “ ‘Sasa kwa habari ya mwovu, ikiwa atageuka na kuziacha dhambi zake zote ambazo ametenda+ naye hakika ashike sheria zangu zote na kutenda haki na uadilifu,+ hakika yeye ataendelea kuishi. Hatakufa.+
8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+