Ezekieli 23:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa maana wamefanya uzinzi+ na damu imo mikononi mwao,+ nao wamefanya uzinzi na sanamu zao za mavi.+ Na, mbali na hayo, waliwafanya wana wao waliokuwa wamenizalia wapite motoni kama chakula kwao.+
37 Kwa maana wamefanya uzinzi+ na damu imo mikononi mwao,+ nao wamefanya uzinzi na sanamu zao za mavi.+ Na, mbali na hayo, waliwafanya wana wao waliokuwa wamenizalia wapite motoni kama chakula kwao.+