Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 102:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Hakika ataielekea sala ya wale waliovuliwa kila kitu,+

      Naye hataidharau sala yao.+

  • Isaya 55:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mtafuteni Yehova, wakati anapoweza kupatikana.+ Mwiteni akiwa bado yupo karibu.+

  • Yeremia 29:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na hakika mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+

  • Yeremia 50:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wataendelea kuuliza njia ya kwenda Sayuni, nyuso zao zikiwa zimeelekezwa upande huo,+ wakisema, ‘Njooni, tujiunge pamoja na Yehova katika agano ambalo halitasahauliwa, linalodumu mpaka wakati usio na kipimo.’+

  • Zekaria 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nitaleta sehemu hiyo ya tatu kupitia moto;+ nami nitawasafisha kama vile fedha inavyosafishwa,+ na kuwajaribu kama vile dhahabu inavyojaribiwa.+ Nayo italiitia jina langu, nami nitaijibu.+ Nitasema, ‘Ni watu wangu,’+ nayo itasema, ‘Yehova ni Mungu wangu.’ ”+

  • Mathayo 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Endeleeni kuomba,+ nanyi mtapewa; endeleeni kutafuta, nanyi mtapata; endeleeni kupiga hodi,+ nanyi mtafunguliwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki