14 Nayo roho ikaniinua+ na kunichukua, hivi kwamba nikaenda kwa uchungu katika ghadhabu ya roho yangu, na mkono wa Yehova juu yangu ulikuwa wenye nguvu.+
10 Kwa hiyo akanichukua katika nguvu za roho mpaka kwenye mlima mkubwa na mrefu sana,+ naye akanionyesha lile jiji takatifu+ Yerusalemu likishuka kutoka mbinguni kwa Mungu+