Kutoka 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini nyama ya ng’ombe-dume na ngozi yake na mavi yake utaviteketeza kwa moto nje ya kambi.+ Hilo ni toleo la dhambi. Mambo ya Walawi 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye akamteketeza kwa moto yule ng’ombe-dume pamoja na ngozi yake na nyama yake na mavi yake nje ya kambi,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa. Waebrania 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana miili ya wale wanyama ambao kuhani mkuu hupeleka damu yao ndani ya mahali patakatifu kwa ajili ya dhambi huteketezwa nje ya kambi.+
14 Lakini nyama ya ng’ombe-dume na ngozi yake na mavi yake utaviteketeza kwa moto nje ya kambi.+ Hilo ni toleo la dhambi.
17 Naye akamteketeza kwa moto yule ng’ombe-dume pamoja na ngozi yake na nyama yake na mavi yake nje ya kambi,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
11 Kwa maana miili ya wale wanyama ambao kuhani mkuu hupeleka damu yao ndani ya mahali patakatifu kwa ajili ya dhambi huteketezwa nje ya kambi.+