2 “Sema na Haruni na wanawe, kwamba wajitenge na vitu vitakatifu vya wana wa Israeli nao wasilitie unajisi jina langu takatifu+ katika vitu ambavyo wananitakasia.+ Mimi ni Yehova.
3 Nao watashika wajibu wao kwako na wajibu wao kwa hema lote.+ Ila wasikaribie vyombo vya mahali patakatifu na madhabahu wasije wakafa,+ wao wala ninyi.