13 Nao wakapika+ toleo la pasaka+ juu ya moto kulingana na desturi; na vile vitu vilivyofanywa kuwa vitakatifu wakavipika+ katika vyungu vya kupikia na katika vyungu vyenye makalio ya mviringo na katika mabakuli ya karamu, kisha wakalileta haraka kwa wana wote wa watu.+
20 Naye akaniambia: “Hapa ndipo mahali ambapo makuhani watatokosea toleo la hatia+ na toleo la dhambi,+ na ambapo wataokea toleo la nafaka,+ ili wasitoe chochote na kukipeleka kwenye ua wa nje ili kuwatakasa watu.”+