Hesabu 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hayo ndiyo maji ya Meriba,+ kwa sababu wana wa Israeli waligombana na Yehova, hivi kwamba akatakaswa katikati yao. Kumbukumbu la Torati 32:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Kwa sababu ninyi mlitenda isivyofaa kunielekea mimi+ katikati ya wana wa Israeli kwenye maji ya Meriba+ ya Kadeshi katika nyika ya Zini; kwa sababu ninyi hamkunitakasa mimi katikati ya wana wa Israeli.+ Zaburi 81:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika taabu uliita, nami nikakuokoa;+Nikaanza kukujibu katika mahali palipofichika pa mngurumo.+Nikakuchunguza kando ya maji ya Meriba.+ Sela.
13 Hayo ndiyo maji ya Meriba,+ kwa sababu wana wa Israeli waligombana na Yehova, hivi kwamba akatakaswa katikati yao.
51 Kwa sababu ninyi mlitenda isivyofaa kunielekea mimi+ katikati ya wana wa Israeli kwenye maji ya Meriba+ ya Kadeshi katika nyika ya Zini; kwa sababu ninyi hamkunitakasa mimi katikati ya wana wa Israeli.+
7 Katika taabu uliita, nami nikakuokoa;+Nikaanza kukujibu katika mahali palipofichika pa mngurumo.+Nikakuchunguza kando ya maji ya Meriba.+ Sela.