Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 48:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na sasa wana wako wawili waliozaliwa katika nchi ya Misri kabla sijaja hapa kwako Misri ni wangu.+ Efraimu na Manase watakuwa wangu kama vile Rubeni na Simeoni.+

  • Yoshua 16:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mpaka wa wana wa Efraimu kulingana na familia zao ulikuwa, ndiyo, mpaka wa urithi wao upande wa mashariki ulikuwa Ataroth-adari,+ hadi Beth-horoni ya Juu;+

  • Yoshua 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo Yoshua akaiambia hivi nyumba ya Yosefu, Efraimu na Manase: “Ninyi ni watu wengi sana, nanyi mna nguvu nyingi.+ Hampaswi kupata kura moja,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki