Ezekieli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nikaanza kuona, na, tazama! kulikuwa na mkono ulionyooshwa kunielekea,+ na, tazama! kitabu cha kukunjwa kilikuwa ndani yake.+ Danieli 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo wakati huohuo vidole vya mkono wa mtu vikatokea na kuandika mbele ya kinara cha taa juu ya lipu ya ukuta wa jumba la mfalme,+ naye mfalme akawa anaona sehemu ya nyuma ya mkono uliokuwa ukiandika.
9 Nami nikaanza kuona, na, tazama! kulikuwa na mkono ulionyooshwa kunielekea,+ na, tazama! kitabu cha kukunjwa kilikuwa ndani yake.+
5 Ndipo wakati huohuo vidole vya mkono wa mtu vikatokea na kuandika mbele ya kinara cha taa juu ya lipu ya ukuta wa jumba la mfalme,+ naye mfalme akawa anaona sehemu ya nyuma ya mkono uliokuwa ukiandika.