Mambo ya Walawi 26:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nitakapokuwa nimevunja fimbo zenu ambazo huning’inizwa mikate ya mviringo,+ kwa kweli wanawake kumi wataoka mkate wenu katika jiko moja na kuwarudishia mkate wenu kulingana na uzito;+ nanyi mtakula bali hamtashiba.+ Zaburi 80:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umewalisha mkate wa machozi,+Nawe unaendelea kuwafanya wanywe machozi kwa machozi kwa kiasi kikubwa.+
26 Nitakapokuwa nimevunja fimbo zenu ambazo huning’inizwa mikate ya mviringo,+ kwa kweli wanawake kumi wataoka mkate wenu katika jiko moja na kuwarudishia mkate wenu kulingana na uzito;+ nanyi mtakula bali hamtashiba.+
5 Umewalisha mkate wa machozi,+Nawe unaendelea kuwafanya wanywe machozi kwa machozi kwa kiasi kikubwa.+