14 “Kwa maana mataifa haya unayoyafukuza yalikuwa yakiwasikiliza wale wanaofanya uchawi+ na wale wanaoagua;+ lakini wewe, Yehova Mungu wako hajakupa kitu chochote kama hicho.+
25 Ninazitangua ishara za wenye kuongea maneno matupu, na ni mimi anayewafanya waaguzi watende kiwazimu;+ Yule anayewageuza watu wenye hekima warudi nyuma, na Yule anayeugeuza ujuzi wao kuwa upumbavu;+