8Na ikawa kwamba katika mwaka wa sita, katika mwezi wa sita, siku ya tano ya mwezi huo, nilikuwa nimeketi nyumbani mwangu nao wanaume wazee wa Yuda walikuwa wameketi mbele yangu,+ mkono wa Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova uliponiangukia hapo.+
20Ikawa kwamba katika mwaka wa saba, katika mwezi wa tano, siku ya kumi ya mwezi huo, baadhi ya watu kati ya wazee wa Israeli wakaja kuuliza juu ya Yehova,+ nao wakaketi mbele yangu.+
31 Nao wataingia ndani kwako, kama wanavyoingia watu, na kuketi mbele yako kama watu wangu;+ nao hakika watayasikia maneno yako lakini hawatayatenda,+ kwa maana wanaonyesha tamaa zenye uchu kwa kinywa chao nao moyo wao unafuatilia pato lao lisilo la haki.+