8 “ ‘Hivi karibuni nitaimwaga ghadhabu yangu juu yako,+ nami nitaitimiza hasira yangu juu yako,+ nami nitakuhukumu kulingana na njia zako+ na kuleta juu yako machukizo yako yote.
18 Nami nikamwaga ghadhabu yangu juu yao kwa sababu ya damu waliyokuwa wameimwaga juu ya nchi,+ nchi ambayo walikuwa wameichafua kwa sanamu zao za mavi.+