18 Kwa maana uovu umewaka kama moto;+ utateketeza vichaka vya miiba na magugu.+ Nao utashika moto katika vichaka vya msitu,+ navyo vitachukuliwa juu kama moshi unaopaa.+
4 Mtu aliye bora zaidi kwao ni kama mchongoma, aliye mnyoofu zaidi kwao ni mbaya kuliko ukuta wa miiba.+ Siku ya walinzi wako, siku yenu ya kukaziwa fikira, itakuja.+ Sasa kuhangaishwa kwao kutatokea.+