Yeremia 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Watu wa nyumba ya Israeli wameona aibu kama ile ya mwizi ambaye amekamatwa,+ wao, wafalme wao, wakuu wao na makuhani wao na manabii wao.+ Ezekieli 36:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nanyi mtakumbuka njia zenu mbaya na matendo yenu ambayo hayakuwa mazuri,+ nanyi mtachukizwa na nafsi zenu wenyewe kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ya machukizo yenu.+
26 “Watu wa nyumba ya Israeli wameona aibu kama ile ya mwizi ambaye amekamatwa,+ wao, wafalme wao, wakuu wao na makuhani wao na manabii wao.+
31 Nanyi mtakumbuka njia zenu mbaya na matendo yenu ambayo hayakuwa mazuri,+ nanyi mtachukizwa na nafsi zenu wenyewe kwa sababu ya makosa yenu na kwa sababu ya machukizo yenu.+