24 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu mlifanya kosa lenu likumbukwe kupitia kufunuliwa kwa ukosaji wenu, ili dhambi zenu zionekane kulingana na matendo yenu yote, kwa sababu ya ninyi kukumbukwa+ mtakamatwa kwa mkono.’+
10 Na sasa nitazifunua sehemu zake za siri zionekane na macho ya wale wanaompenda kwa tamaa nyingi,+ na hakuna mwanamume atakayemnyakua mkononi mwangu.+