Yeremia 31:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+ Waebrania 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa kusema “agano jipya,” Yeye amelifanya lile la zamani kuchakaa.+ Basi kile kinachofanywa kuchakaa na kuzeeka kiko karibu kutoweka.+
31 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitafanya agano jipya+ pamoja na nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda;+
13 Kwa kusema “agano jipya,” Yeye amelifanya lile la zamani kuchakaa.+ Basi kile kinachofanywa kuchakaa na kuzeeka kiko karibu kutoweka.+