2 Wafalme 24:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tena mfalme wa Babiloni+ akamfanya Matania ndugu ya baba yake+ kuwa mfalme mahali pake. Kisha akabadili jina lake kuwa Sedekia.+ Yeremia 37:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia+ akaanza kutawala mahali pa Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimfanya kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+
17 Tena mfalme wa Babiloni+ akamfanya Matania ndugu ya baba yake+ kuwa mfalme mahali pake. Kisha akabadili jina lake kuwa Sedekia.+
37 Na Mfalme Sedekia+ mwana wa Yosia+ akaanza kutawala mahali pa Konia+ mwana wa Yehoyakimu,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimfanya kuwa mfalme katika nchi ya Yuda.+