Isaya 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ole wake mtu mwovu!—Msiba; kwa maana matendo yaliyotendwa kwa mikono yake mwenyewe atalipwa yeye!+ Yeremia 7:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Nyoa nywele zako ambazo hazijakatwa na kuzitupilia mbali,+ na kuimba wimbo wa huzuni+ juu ya vilima vilivyo wazi, kwa maana Yehova amekikataa+ naye atakiacha kizazi ambacho amekighadhibikia.+ Ezekieli 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Nawe, imba wimbo wa huzuni+ kuhusu wakuu wa Israeli,+
11 Ole wake mtu mwovu!—Msiba; kwa maana matendo yaliyotendwa kwa mikono yake mwenyewe atalipwa yeye!+
29 “Nyoa nywele zako ambazo hazijakatwa na kuzitupilia mbali,+ na kuimba wimbo wa huzuni+ juu ya vilima vilivyo wazi, kwa maana Yehova amekikataa+ naye atakiacha kizazi ambacho amekighadhibikia.+