-
Ezekieli 12:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Nawe utawaambia watu wa nchi, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amewaambia wakaaji wa Yerusalemu katika udongo wa Israeli:+ “Watakula mkate wao kwa hangaiko, nao watakunywa maji yao kwa tisho, ili kujaa kwa nchi yao kufanywe kuwa ukiwa+ kwa sababu ya jeuri ya wale wote wanaokaa ndani yake.+
-