Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Naye Danieli akatoa ombi kwa mfalme, naye akaweka Shadraki, Meshaki na Abednego+ juu ya usimamizi wa wilaya ya utawala ya Babiloni, lakini Danieli akawa katika makao ya mfalme.+

  • Danieli 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kuna Wayahudi fulani ambao uliweka juu ya usimamizi wa wilaya ya utawala ya Babiloni,+ Shadraki, Meshaki na Abednego; wanaume hao hawakukujali wewe, Ee mfalme, hawaitumikii miungu yako mwenyewe, wala sanamu ya dhahabu ambayo umeisimamisha hawaiabudu.”+

  • Danieli 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nebukadneza akajibu na kusema: “Abarikiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego,+ aliyemtuma malaika wake+ na kuwaokoa watumishi wake waliomtegemea,+ na ambao walibadili neno la mfalme na kutoa miili yao, kwa maana hawakutumikia kamwe+ wala kuabudu+ mungu yeyote mwingine ila Mungu wao wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki