12 Kuna Wayahudi fulani ambao uliweka juu ya usimamizi wa wilaya ya utawala ya Babiloni,+ Shadraki, Meshaki na Abednego; wanaume hao hawakukujali wewe, Ee mfalme, hawaitumikii miungu yako mwenyewe, wala sanamu ya dhahabu ambayo umeisimamisha hawaiabudu.”+