Isaya 10:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Tazama! Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, anakata matawi kwa mshindo wa kutisha;+ na wale walio na ukuzi mrefu wanakatwa, na walio juu wanashuka.+ Ezekieli 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Mwashuru, mwerezi katika Lebanoni,+ wenye matawi ya kupendeza,+ wenye kifuniko chenye majani mengi kinachotoa kivuli, na wenye kimo kirefu,+ hivi kwamba kilele chake kilikuwa kati ya mawingu.+
33 Tazama! Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, anakata matawi kwa mshindo wa kutisha;+ na wale walio na ukuzi mrefu wanakatwa, na walio juu wanashuka.+
3 Tazama! Mwashuru, mwerezi katika Lebanoni,+ wenye matawi ya kupendeza,+ wenye kifuniko chenye majani mengi kinachotoa kivuli, na wenye kimo kirefu,+ hivi kwamba kilele chake kilikuwa kati ya mawingu.+