Ezekieli 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tazama! Mwashuru, mwerezi katika Lebanoni,+ wenye matawi ya kupendeza,+ wenye kifuniko chenye majani mengi kinachotoa kivuli, na wenye kimo kirefu,+ hivi kwamba kilele chake kilikuwa kati ya mawingu.+ Danieli 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “ ‘Basi katika maono ya kichwa changu kitandani mwangu nikawa ninaona,+ na, tazama! mti+ fulani katikati ya dunia, ambao ulikuwa mrefu sana.+
3 Tazama! Mwashuru, mwerezi katika Lebanoni,+ wenye matawi ya kupendeza,+ wenye kifuniko chenye majani mengi kinachotoa kivuli, na wenye kimo kirefu,+ hivi kwamba kilele chake kilikuwa kati ya mawingu.+
10 “ ‘Basi katika maono ya kichwa changu kitandani mwangu nikawa ninaona,+ na, tazama! mti+ fulani katikati ya dunia, ambao ulikuwa mrefu sana.+