2 Mambo ya Nyakati 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+ Danieli 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “ ‘Na kwa kuwa walisema kisiki cha mti huo kiachwe,+ ufalme wako utakuwa hakika kwako baada ya wewe kujua kwamba mbingu zinatawala.+
13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+
26 “ ‘Na kwa kuwa walisema kisiki cha mti huo kiachwe,+ ufalme wako utakuwa hakika kwako baada ya wewe kujua kwamba mbingu zinatawala.+