Zaburi 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela. Mhubiri 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana hakuna mwanadamu aliye mwadilifu duniani ambaye huendelea kufanya mema na asifanye dhambi.+
5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela.
20 Kwa maana hakuna mwanadamu aliye mwadilifu duniani ambaye huendelea kufanya mema na asifanye dhambi.+