Yeremia 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nilisema nawe wakati ulipokuwa huna wasiwasi.+ Ulisema, ‘Sitatii.’+ Hii imekuwa njia yako tangu ujana wako, kwa maana hukuitii sauti yangu.+ Danieli 8:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na kulingana na ufahamu wake atafanya udanganyifu ufanikiwe mkononi mwake.+ Na atajivuna sana moyoni mwake,+ naye atawaharibu wengi wakati ambapo hakuna mahangaiko.+ Na atasimama kumpinga Mkuu wa wakuu,+ lakini atavunjwa pasipo kutumia mkono.+
21 Nilisema nawe wakati ulipokuwa huna wasiwasi.+ Ulisema, ‘Sitatii.’+ Hii imekuwa njia yako tangu ujana wako, kwa maana hukuitii sauti yangu.+
25 Na kulingana na ufahamu wake atafanya udanganyifu ufanikiwe mkononi mwake.+ Na atajivuna sana moyoni mwake,+ naye atawaharibu wengi wakati ambapo hakuna mahangaiko.+ Na atasimama kumpinga Mkuu wa wakuu,+ lakini atavunjwa pasipo kutumia mkono.+