Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mtu huyo Mika, alikuwa na nyumba ya miungu,+ naye akafanya efodi+ na terafimu,+ akaujaza nguvu mkono+ wa mmoja wa wanawe, ili awe kuhani+ wake.

  • 1 Samweli 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Wajumbe hao walipoingia, na tazama, kulikuwa na ile sanamu ya terafimu kitandani na wavu wa manyoya ya mbuzi mahali pa kichwa chake.

  • Ezekieli 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana mfalme wa Babiloni alisimama tuli katika makutano ya njia, penye kichwa cha zile njia mbili, ili kufanya uaguzi.+ Ametikisa mishale. Ameuliza habari kwa kutumia terafimu;+ ametazama ndani ya ini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki