23 Nami hakika nitampanda yeye duniani kama mbegu kwa ajili yangu,+ nami nitamwonyesha rehema yeye ambaye hakuonyeshwa rehema,+ nami nitawaambia wale ambao si watu wangu: “Ninyi ni watu wangu”;+ wao nao watasema: “Wewe ni Mungu wangu.” ’ ”+
10 Kwa kuwa wakati mmoja ninyi mlikuwa si watu, lakini sasa ninyi ni watu wa Mungu;+ mlikuwa wale ambao hawakuwa wameonyeshwa rehema, lakini sasa ninyi ni wale ambao wameonyeshwa rehema.+