13 Juu ya udongo wa watu wangu inatokea miiba mitupu,+ vichaka vyenye miiba, kwa maana viko juu ya nyumba zote zenye furaha, ndiyo, mji uliochangamka sana.+
13 Miiba itatokea kwenye minara yake ya makao, upupu na magugu yenye miiba katika mahali pake penye ngome;+ naye atakuwa makao ya mbwa-mwitu,+ ua kwa ajili ya mbuni.+