Hosea 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hiyo ni kwa sababu wana wa Israeli watakaa muda wa siku nyingi bila mfalme+ wala mkuu wala dhabihu+ wala nguzo wala efodi+ wala terafimu.+ Hosea 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo nilikupa mfalme katika hasira yangu,+ nami nitamwondolea mbali katika ghadhabu yangu.+
4 Hiyo ni kwa sababu wana wa Israeli watakaa muda wa siku nyingi bila mfalme+ wala mkuu wala dhabihu+ wala nguzo wala efodi+ wala terafimu.+