Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 67:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Hakika dunia itatoa mazao yake;+

      Mungu, Mungu wetu, atatubariki.+

  • Isaya 51:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana Yehova hakika atamfariji Sayuni.+ Hakika atafariji mahali pake pote palipoharibiwa,+ naye ataifanya nyika yake kuwa kama Edeni+ na nchi yake tambarare ya jangwani kama bustani ya Yehova.+ Furaha na kushangilia zitapatikana ndani yake, kutoa shukrani na sauti ya muziki.+

  • Ezekieli 34:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na mti wa shambani utatoa matunda+ yake, na nchi yenyewe itatoa mazao+ yake, nao kwa kweli watakuwa katika nchi yao kwa usalama.+ Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova nitakapovunja nira+ zao na kuwakomboa kutoka katika mkono wa wale waliokuwa wakiwatumia kama watumwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki