34Njooni karibu, enyi mataifa, ili msikie;+ nanyi vikundi vya taifa,+ kazeni uangalifu. Dunia na vyote vilivyomo na visikilize,+ nchi yenye kuzaa+ na mazao yake yote.+
10 Sikieni neno la Yehova, enyi mataifa, na kulitangaza kati ya visiwa vilivyo mbali,+ na kusema: “Yeye anayemtawanya Israeli atamkusanya pamoja,+ na hakika yeye atamweka kama mchungaji anavyoliweka kundi lake.+