Mwanzo 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi Yehova akaona kuwa ubaya wa mwanadamu ulikuwa mwingi duniani na kila mwelekeo+ wa fikira za moyo wake ulikuwa mbaya tu wakati wote.+ Isaya 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami hakika nitaleta ubaya wake juu ya nchi yenye kuzaa,+ na kosa lao wenyewe juu ya waovu. Nami kwa kweli nitakifanya kiburi cha wenye kimbelembele kikome, na majivuno ya waonevu nitayashusha.+
5 Basi Yehova akaona kuwa ubaya wa mwanadamu ulikuwa mwingi duniani na kila mwelekeo+ wa fikira za moyo wake ulikuwa mbaya tu wakati wote.+
11 Nami hakika nitaleta ubaya wake juu ya nchi yenye kuzaa,+ na kosa lao wenyewe juu ya waovu. Nami kwa kweli nitakifanya kiburi cha wenye kimbelembele kikome, na majivuno ya waonevu nitayashusha.+