Zaburi 48:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kama vile tulivyosikia, ndivyo tumeona+Katika jiji la Yehova wa majeshi, katika jiji la Mungu wetu.+Mungu mwenyewe atalifanya imara mpaka wakati usio na kipimo.+ Sela Isaya 60:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Badala ya wewe kuwa aliyeachwa kabisa na kuchukiwa, bila kuwa na yeyote anayepita katikati,+ nitakuweka kuwa kitu cha fahari mpaka wakati usio na kipimo, furaha kwa kizazi baada ya kizazi.+ Amosi 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “ ‘Nami nitawapanda juu ya nchi yao, wala hawatang’olewa tena kutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ Yehova Mungu wako amesema.”
8 Kama vile tulivyosikia, ndivyo tumeona+Katika jiji la Yehova wa majeshi, katika jiji la Mungu wetu.+Mungu mwenyewe atalifanya imara mpaka wakati usio na kipimo.+ Sela
15 “Badala ya wewe kuwa aliyeachwa kabisa na kuchukiwa, bila kuwa na yeyote anayepita katikati,+ nitakuweka kuwa kitu cha fahari mpaka wakati usio na kipimo, furaha kwa kizazi baada ya kizazi.+
15 “ ‘Nami nitawapanda juu ya nchi yao, wala hawatang’olewa tena kutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ Yehova Mungu wako amesema.”